ni wababaishaji hawa jamaa! Mi coni 7bu ya wao kuweka eligibility status wakati hata zote ukiwa na vgezo hawakuchaguwi! Bora wangelsema tuwatumie majina yetu na result den watpange km walvotupeleka macourse 2so mpango nayo! Nin malengo ya kutupa nafas ya kuchagua wakt unchaguliwa! Dahx wamebowa...
Jamani mimi nina hasira haswaa bora ata ungekuwa huchaguw na ku2mia mda na pesa kuomb bda ya matokeo wngchaguwa 2 wajuavyo wao km walvofnya ku2pa mafacult 2siyoytaka na kuyaomba! Wameniboa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.