Hapo maana yake Ni kwamba tango/uume wa mpenzi wake wa nje uko vizuri Sana mpaka anamukojolesha maji ya uke., hiyo Ni alama ya kuonyesha maji vidimbwi vya maji.
Unapata muda wa kusoma masters wakati huo wewe Ni waziri na mbunge Kama siyo degree , masters za matakoni, unamupa lecture pesa unanunua cheti. Safari bado ndefu.
Don't chase women, chase money. Ukiwa na chapaa za kutosha hata kama una sura ya sokwe wanakuja tu warembo wote unaowajua. Tumia muda wako mwingi kwenye kutafuta pesa siyo hawa vikojozi. Pia ukiwa nao wengi huwezi pata stress hata aliondoka Sana Sana atapunguza muda wa wewe kuongea naye. Uwe na...
Kupigana na mtu ambaye yuko field kila siku ni kazi sana idf wengi Ni reserve hawako train kukabiliana na commandos wa hamasa, watapukutishwa Sana. Hata wanajeshi wa USA siyo wazuri kwenye face to face wanasaidiwa sana na ndege na vifaa bora walivyo navyo. Sasa IDF kwenye Urban combat...
Mwezi November jumla wanajeshi zaidi ya 13,000 wa Ukraine na mamuluki wao wamekufa. Hizo roho Ni nyingi sana na bado zelesrky anataka vifaa toka Marekani. Na secretary of state amemwambia Zelensky kwamba hakuna siraha yeyote toka NATO itakayofanya maajabu kwenye uwanja wa Vita, kwani siraha za...
Na South Africa nako Wana chuki na Israel. Hizi dini zimefanya watu wengi kuwa na utindio wa ubongo. Yesu au mtume Mohamed hawakuwa na dini yeyote iweje Leo watu wanafia dini. Propaganda za west na utalii wa kiimani unaofanywa na Israel kumewafanya watu wengi. Especially ngozi nyeusi kupotea...
90% zinafungwa kabisa 💯. Fanya research ulipo wasomi wengi wenye degrees walioowa, wengi wanaishia kuwa na kagari na kajumba ndo hapo wanasema wamewin maisha. Labda aibe uko ofisini Kama Kuna loopholes ya wizi.
https://youtu.be/P9-0ZBjoSDo?si=yKt4FxPCxlnYqKf2
within 20 years Israel will be wiped out from the World map.
Kwa sababu ya kuongezeka technologies kwa nchi za waharabu Kama Iran. The balance of power middle East, technologia ya nuclear power hamasa or any national watakuwa nayo hivyo Israel...
https://youtu.be/JzclzXzYbg8?si=e6ba6eEWdtsN12rW
Ukraine haina wanajeshi wa kupigana wengi wamekufa waliobaki ni mamuluki toka nchi za NATO Kama Poland, UK, USA, etc.
Siku binadamu especially mwafrica akigundua kwamba hizi dini ni changa la macho hapo ndipo akili itakapomurudia na kupata maendeleo. Bible au quaran au vitabu vingi vya dini vimekuwa msaraba death / poverty trap kwa mtu mweusi.
Hizo share za South Africa Ni akina Mkapa, barozi mpungwe etc.wote hawako kwenye system ndo maana wanarundisha serikalini. Kuna watyu wametafuna pesa kwenye nchi hii, cha ajabu nao uzeeka na kufa. Akina mpungwe Sasa hivi hawezi maliza hata laki moja kwa kula, mzee sana, hata kutembea Ni shida...
Mara nyingi watu walioko serikalini huwa mbumbumbu sana kifikra, hivyo utumia nguvu sana kufanya mambo yao, akitokea mtu kumupinga huyo mtu huwa Ni adui number moja. Yuko tayari kuuwa ,kuumiza aonekane yuko right, mpaka leo ukipinga hoja za watawala basi wako tayari kupoteza kabisa. Mfano akina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.