Hii interview nimeangalia leo nimecheka sana!
Mkasi unaweza kuangalia Youtube ukiimiss.
Salama naona hata hakuwa na maswali mengi maana jamaa aliwapeleka shule.
Hii ni kweli kabisa.
Lakini ni generalisation tu so sio wote ni hivyo.
Hayo mambo ya wivu, kutosamehe, etc. hayo yote ni dhambi tu
Na mshahara wa dhambi ni......
Mwili hukosa nguvu na mtu anakuwa mgonjwa mgonjwa tu.
Mkuu Kidoma,
I wish you all the best, utapata tu!
Watu wangapi wamepata wachumba humu JF na criteria zao zilikuwa more ridiculous kuliko huyu bwana.
Naamini kuna walokole huku na hata kama watakuwa hawana criteria nyingine wajaribu tu huwezi jua...
Hapo kwenye red tunajuaje hiyo sensa ilikuwa sahihi?
Mkoloni alikuwa na lengo gani au na uchungu gani na nchi hii kwa sisi kuamini sensa yake?
Je kwenye sensa za mwanzo za mkoloni ratio zilikuwa vipi?
Sasa ukija kuoa wa namna hii na ukasafiri siku kadhaa lazima atafute "dawa" yake nje.
Wengine diet zao na lifestyle zao zinasababisha hormone na other chemical imbalances nao wanapenda kutumia hiyo "dawa"
Huu ni mtazamo wangu tu.
Kusema ukweli sijasoma, nilichukulia easy kwamba ni kujiheshimu tuu kwenye posts zangu na za wengine. Nitazipitia.
Mimi nilikuwa msomaji kwa miaka mingi sasa nimeamua kuwa mchangiaji.
Kweli ni kichekesho. Hata Wamalawi wanajua ndio maana miaka yote hiyo walikaa kimya labda tu kutikisa kiberiti hapa na pale. Yaani hata kama ziwa lote ni la kwao hata kama walipewa kihalali sisi tunawezaje kudefend border? Lazima tugawane nusu kwa nusu. Tutumie diplomatic channels zote...
Mi naitwa Mlamba Ndimu
Ndio maana unaona sura yangu imejikunja hivyo
Mi sina lolote bana
Kumboli kumbonji tuuuuuuu
Nini jamaaaa...
haya naomba kuingia humu kwa ma great
Ili nipolish skills labda ninaweza kugeuka kuwa mlamba honey!
Ni hayo tu wakuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.