Wakuu hapa mabibo hostel kila ikifika usiku ni kwaya kwenda mbele mpaka imekuwa kero watu tunajiandaa na mtihani bac imekuwa kero tunaomba wausika wachue hatua
Walimu walio wengi walitegemea kushiriki ktk zoezi la sensa lakini kutokana na serekali kuwacha na kuchukuwa watu wa kada nyingind kwa kinachodaiwa ni kushiriki ktk mgomo kwa maoni yangu kama kutaathima maendeleo ya wanafunzi kwani wengi wamekata tamaa na kufundisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.