Naomba kuuliza wapi kuna kiwango cha sukari zaidi kati ya chai na bia.
Ambacho kinaweza kuathiri kiasi kilichopo mwilini.
Chukulia bia kama Tusker,Killi,Serengeti.....
Ahsante.
Nasikia kutoka kwenye vyombo vya habari kwamba shilingi ya Tz inashuka thamani na hii inatokana na kutegemea vitu kununua kutoka nje ya nchi. Vikifika nchini vinauzwa bei ya juu sana kwa kisingizio kwamba dola imepanda. JE SWALI LANGU ni kwamba HAWA ndugu zetu waliofanikiwa kusoma mpaka CHUO...
Afrika Kusini ni mojawapo ya nchi zilizoendelea kwa sekta ya viwanda duniani. Kwa ninavyofahamu miaka ya nyuma vijana wengi walikuwa wanakwenda tafuta ajira huko. Naomba uliza je kwa sasa nafasi za ajira iko vipi? Zipo au hazipo,je kuna wanaokwenda tafuta ajira bado ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.