Search results

  1. Njunwa Wamavoko

    Serverless Service: Hizi huduma ni expensive sana hasa kwa startups

    The moment unalipia hizo services, means upo next level Lakini unaweza ku cut down prices kwa baadhi ya services Kwa nn ulipie Azure VM na Vercel for react? React inakua compiled to static files na unaweza kui save tu mpaka kwa S3 na ikaendelea ku call API yako. Technically hapa it means kama...
  2. Njunwa Wamavoko

    Je, nitumie electron kudevelop desktop App?

    Ili tuwekena sawa kwanza what is Uglify and what is obfuscation? and what makes them different? Do we use code uglification in Java/C# or its commonly used term in Javascrip code? https://owasp.org/www-community/controls/Bytecode_obfuscation Lakini pia sijaweza ona core logic ya eProxy kwenye...
  3. Njunwa Wamavoko

    Je, nitumie electron kudevelop desktop App?

    Haiwi manual process mkuu. You write code to do that for you. Nimeona mtu anaefanya hii kitu mkuu kwa codebase ya android application nzima, siongei theoretically. Nimewai lipia pia tool ya ku Obfuscate Desktop app ya Javax If you cant write code, kuna tools za kulipia kwa ajili ya hii kazi...
  4. Njunwa Wamavoko

    Je, nitumie electron kudevelop desktop App?

    1st approach ni ku distribute application kwa njia ya installer(application moja inaenda ina download application nyingine online na ku install), hii itafanya house keeping nyingi sana. Unaweza kucheza na registry kwenye windows ukaandika baadhi ya taarifa(hakikisha kwenye registry taarifa...
  5. Njunwa Wamavoko

    Je, nitumie electron kudevelop desktop App?

    Programming language yoyote inayo compile kwenda Byte Code afu byte codes zika run kwenye virtual environment kama ilivo Java kwa JVM na C# kwa .NET Framework, bas jua hiyo unaweza decompile kirahisi kabisa ukasoma logic ya activation code. Huu mchezo nimeufanya sana kwenye .jar file za Java na...
  6. Njunwa Wamavoko

    Full Stack Developer Needed

    Ulimwengu wa leo pia umeanza kuamia Remote, watu wako bongo wanafanya kazi silicon valley. Open up opportunities kwa kila mtu na kama kuna kua na necessity ya physical meeting, mtu anasafiri anakuja
  7. Njunwa Wamavoko

    EFD receipt software/App

    Hii ni huduma ya VFD sio EFD. VFD virtual Fiscal Devices inakuruhusu ku print receipt za TRA kutoka kwenye Mobile devices(Phones, Androis POS e.t.c) na sio lazima kutumia zile machine za zamani za TRA. Hii ni huduma Legit ya TRA...
  8. Njunwa Wamavoko

    Je MacBook m1 air 8/512 ni nzuri kwa software development?

    Natumia Apple Macbook Pro M1 chip 8GB RAM / 512GB SSD In my experience, naweza kufungua Jetbrains IDE mbili i.e Android Studio/Intelli J na PHPStorm kwa wakati mmoja. Nkafungua Android emulator na iOS Simulator kwa wakati mmoja. Na bado nkafungua Google chrome ikiwa na tabs kama 10 hivi, na...
  9. Njunwa Wamavoko

    Mazungumzo kati ya Mimi na Bard(Akili bandia kutoka Google)

    hii ya kuchagua mwenyewe asilimia nimeisikia leo. specifically hiyo ya kukatwa less than 15%
  10. Njunwa Wamavoko

    Framework gani ya backend inafanya uwe productive zaidi? Laravel / Django

    Ease of use and Perfomance then go with Django. Kama una factors nyingine kama learning curve, Community then unaweza fikiria upande wa pili
  11. Njunwa Wamavoko

    Framework gani ya backend inafanya uwe productive zaidi? Laravel / Django

    Laravel na Django zinakuja zikiwa na authentication tayari, nikuzi enable/kuzi install tu It depends kama unataka kufanya Monolithic au API na hizo frameworks. Django ni best framework kwa perfectionist developers with Deadlines, though watu wanasema Django imekua bloated na codebase kubwa na...
  12. Njunwa Wamavoko

    Naomba ufafanuzi wa hili baada ya Kondomu kupasuka

    Mshawishi dada mkapime Afya. Pia kumbuka, Ndani ya Saa 72 unaweza tumia Dawa Kinga(Post Exposure Prophlaxis) Kukuzuia kupata maambukizi ya VVU na magonjwa kama Homa ya Ini. Wahi hospitali za serikali.
  13. Njunwa Wamavoko

    Tatizo la saratani ya ini

    Hepatits ni kisababishi kimojawapo cha saratani ya ini. Hepatitis ni ugonjwa wa kuambukiza mara nyingi kama ilivo HIV/AIDS Ulevi wa kupindukia nacho ni kisababishi cha kujitegemea. N:B Note neno ulevi wa kupindukia au kunywa pombe kali zenye % kubwa kila siku.
  14. Njunwa Wamavoko

    Tatizo la saratani ya ini

    Cancer ipo Stage ipi? Kama yupo Stage za mbali hata aende wapi Matibabu yatacheza pale pale kwenye Chemotherapy na Destiny ni ile ile i.e Kifo. Usidanganyike na mtu yeyote. Save pesa zenu mfanyie mambo mengine. Kwa sasa anaitaji tu Palliative Care na principle zake ni kuzuia matumizi ambayo...
  15. Njunwa Wamavoko

    Developer kwa ajili ya Project ya Deep Learning

    Is it a Image classification project? Is it a Regression Project? Is it a NLP project? Is it a Forecasting project? Naamini Deep learning inaweza cover part ya hayo maeneo, na naamini sio kila mtu ni expert katika maeneo hayo yote. Na unaweza kuwa na knowledge kila aspect ila hauhawai pia fanya...
  16. Njunwa Wamavoko

    Android Developers wa bank ya NMB, huu uoga mmeanza lini?

    kali linux umetoa hoja za msingi unfortunately umekutana na hao arrogant developers kutoka hiyo Bank au kampuni ilo develop hiyo app. Na industry ya technology kwa Tanzania(Katika baadhi ya makampuni) ndo ilivo yaani mtu ukileta challenge mezani au uka question design ya kitu fulani anaanza...
  17. Njunwa Wamavoko

    Hadi sasa sijutii kuwepo tigo postpaid, sioni dalili yoyote ya kuhama labda tu voda supakasi waje na vifurushi vya ziada kwa bei nafuu

    vipi hizo 80GB zikiisha, unaweza kuendelea ku access kwa speed ndogo kama ilivyo Voda Supakasi. Natumia Voda 24GB kwa 50,000/= ila zikiisha GB zao naendelea ku access kwa walau speed ya 2-3Mbps
  18. Njunwa Wamavoko

    Nawezaje kusafisha mwilini sumu ya energy drinks?

    Acha kudanganyika. Mwili wa binadamu hauwezi kuishi na sumu mwili, kama ni elite rejea elimu yako ya Biolojia mada ya "Excretion". Kazi ya Ini, Figo, Ngozi, Kinyeo, ni kutoa taka mwili zikiwemo kemikali na sumu mbali mbali kama Ammonia. Kama ulikua na tabia ya kunywa Energy drink jua...
  19. Njunwa Wamavoko

    Naomba kujuzwa utaratibu wa kupata VFD/API kutoka TRA

    Hii kitu haipo available tena kwa kila mtu Hii ni moja ya quoted email message kutoka TRA officials
Back
Top Bottom