Hakuna mtu anayeitwa shaban juma aliyewahikuwa katibu kata wa CHADEMA. Ni uongo mtupu, nina uhakika hakuna watu hata 10 waliohama kutoka CHADEMA na kwenda CCM huku mkalama. hii habari naibariki kuwa ya udaku halisi.
ukiwa mjini utaambiwa upinzani hamna vijiji, hiyo sio kweli kabisa. mfano kitongoji cha kitumbili wote mpaka na mabalozi wamehamia CHADEMA kutokana na tatizo la kidemokrasia. walimsimamisha mwenyekiti wao akarudishwa kwa mabavu na wakubwa. wazee wameomba msaada wa kufundishwa kutamka CHADEMA...
Aliyeandika post hii ni mzushi sijawahi kuona mtu kama huyu:
HOJA:
1. Mgongo haipo IRAMBA MASHARIKI
2. MWIGULU hajafanya mkutano IRAMBA MASHARIKI, pia sio mbunge wa IRAMBA MASHARIKI.
3. IRAMBA MASHARIKI hamna uchaguzi wa viti nane.
4. CCM hainyakui viti, inanyakua kwa nani ? CHADEMA ...
UKIUKWAJI WA DEMOKRASIA WAFANYIKA IRAMBA MASHARIKI.
Tukiwa katika mfumo wa vyama vingi bado kuna watu wana mawazo ya mfumo wa chama kimoja. Amani tuliyonayo ni lulu bado kuna watu wanaichezea tena kwa mzaha wa kitoto kabisa. Jana 01/12/2012 tukiwa kwenye tafakari ya siku ya ukimwi dunia kumbe...
:lol: CHADEMA washindwe wenyewe tu! Iramba ndio muda wenu kuhukumiwa kwa kumkataa. Iguguno ilishatangaza kuwa ngome ya upinzani. Hapo kuna wapiga kura 17,0000. PEOPLESSSSSSSSSSSSS ! :eyebrows:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.