Kata ya pamba - nyamagana, inaonekana chadema wameshinda lakini hawataki kutoa matokeo. sasa watu wanaandama kushinikiza watangaze matokeo.
waliokaribu watusaidie kuzuia uchakachuaji. muhimu sana wakuu
Nimetaarifiwa kuwa Muda si mrefu rais JK ataingia hospital ya bugando mwanza kuwaona majeruhi wa ukerewe na wale askari waliopata ajali shinyanga.
Yeyote aliyekaribu na maeneo hayo atupe kinachoendelea please.
wakuu wa kaya nawezaje kupata nakala ya cheche no 40. nimejaribu kuitafuta bila mafanikio. niwezesheni wazee.
asante mwanakijiji kwa jitihada zako. we really need changes,
Richard Dyle Bezuidenhout [19] (born August 10, 1982) is a student from Ilala, Tanzania.
you can visit his web http://www.richardbba2winner.com
CONTACT HIM THROUGH
info@richardbba2winner.com
For business enquiries contact:
marketing@richardbba2winner.com
Fans can...
bowbow, kazi nzuri sana mazee.unajua huyu jamaa wakati wa utawala wake, haki ya mnyonge ilikuwa ngumu sana.nakumbuka alikuwa na kijana wake anamuita chiko(RPC kilimanjaro).walikuwa marafiki sana mpaka nikawa na wasiwasi na urafiki wao.kipindi chake ndio muda ambao asikari walikuwa wanakodisha...
sir leem naona sasa unaelekea pabaya.kilichofanyika kiteto hata mtoto mdogo anajua.hawezi kujiita mtu mshindi kiteto.sasa wewe unamtetea masha kweli kwa kuficha ukweli?? its da right time now to think global and act locally.maendeleo hayaji kwa kuwatetea wajinga wakati hali inazidi kuwa...
ndugu zangu lazima tuwe wakweli kwa nafsi zetu. mwanyika na hosea hawawezi kujisafisha hata kidogo.leo kuna watu wanataabika kuliko maelezo,nimetembelea vijijini watu wanafungwa,wanteshwa kwa kuwa hawana hela za kuchangia maendeleo. huu sio utawala bora kabisa, leo wale waliotufikisha hapa...
Ni kweli tume nyingi zinaendeleza ufisadi tu. kitu kimoja ambacho naweza kuwahakikishia wana jf ni kuwa Mh pinda yuko vizuri.wale wote ambao wamelala wataamshwa na maji baridi, mziki wa pinda ni mnene kwa wale mafisadi.tumechoka na tume kuundiwa tume nyingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.