Makanyanga, nimesoma ulichoniambia nisome. Nimeona kinachozungumziwa ni galaxy na umbali wake kutoka kwenye galaxy yetu.
Nilichokisoma hakijabadili sana nilichoandika hapo awali isipokuwa nimegundua wakati naandika nilifanya kosa kubwa sana, kwani kichwani nilikuwa nawaza universe wakati...
Makanyaga, nakubaliana na wazo lako la kuwa inawezekana kutokana na theory ya Multi universe, mwanga uliotufikia 32 billion light years away hautoki kwenye universe yetu. Ila naona kuna vitu vingine vya kufikiria:
1. Kama observation kutoka kwenye hizo nyota itaonesha red shift maana yake hizo...
Mkuu nimeipenda sana hiyo escape plan yako. Iko very scientific.
Kuhusiana na huo msitu, mimi nilishafika huko na nilifanikiwa kuwaona hao kuku weusi.
Kitu ambacho nilifikiria baada ya kuwaona ni kuwa hao wanaweza kuwa kuku wenye feature tu zinazoendana na hayo mazingira kama ilivyo kwa wale...
1. Kwamba kila wakati mbwa anapokuwa amemuona chatu ni la zima awe amekutana na huo mng'aro hata kama hakuna jua?
2. Kwanini mbwa ang'ang'anie kwenda kushangaa huo mng'aro?
3. Kwanini mbwa asivutiwe na chakula badala yake avutiwe na kutaka kujua huo mng'aro ni kitu gani?
4. What's so special...
Unailezeaje ile habari ya kwamba mbwa akimuona chatu huwa anajipeleka kwenyewe kwa chatu?
Tunaambiwa kwamba hata ukijaribu kumzuia mbwa huyo huwa na hali ya kulazimisha kwenda kwa chatu. Je, kuna ukweli gani juu ya hili jambo?
cc: adden
Sky Eclat,
Kuna vitu vingi ambavyo binadamu hatuna majibu yake mpaka leo, naamini kimoja wapo ni "virus".
Maelezo yako yameweka hilo wazi.
Kwenye hizi nyanja uko vizuri mkuu.
Watu wa muziki utawajua tu.
Asante kwa huo wimbo Original. Niliwahi fikiria kuutafuta huu wimbo baada ya kuusikia ule wa J. Cole ila nikajikuta nimesahau.
Mkuu, Papa Mobimba imebidi nikufuate huku. Kuna mada uliianzisha, ikapata wateja lakini kuna maswali mengi hujayajibu.
Tafadhari unaitwa huko.
Mada ni hii:
https://www.jamiiforums.com/threads/niulize-swali-lolote-kuhusu-magonjwa-ya-zinaa.1532605/
Papa Mobimba nakukumbusha tu kuwa kuna wadau walijitokeza kuuliza maswali ila hayajajibiwa bado.
Nakuamini sana kwenye taaluma yako.
Pitia huku please.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.