Kuna daktari mmoja alikuwa anatumia dawa za asili alinitibu zamani kidogo kwenye 2018 yule jamaa alikuwa na dawa nafikiri ni za kihaya aaah sijawah ona dawa kama zile maishani mwangu yaani nilikuwa na gono nikawa natumia madawa kila aina ila nilipotumia ya yule jamaa wiki 1 tu. Unaweza kumcheki...
Ni bora kuwa peke yako kuliko kuwa na marafiki ambao watakupoteza. Kama unaamua kuwa na marafiki kuwa nao ambao unaamini watakusaidia kufikia malengo yako.
Jamani kuna watu mpaka leo hii wanaona biashara mtandaoni ni wazo la kusadikika, kuna watu kila kukicha wanatengeneza hela nyingi sana kwa kutumia fursa hii ya bishara mtandaoni. Mfano mdogo tu miaka mitatu iliyopita mimi nilianza ya mtandaoni na tangu wakati huo sijawah kutamani hata kuajiliwa...
Heshima zenu wakuu, nina hili tatzo linanichanganya sana. Maana huwa napata maumivu katikat ya kifua na hii hutokea pale tu ninapokuwa nimefanya kazi nzito kidogo, Je nini linaweza kuwa tatizo hapa.
Nikishapumzika maumivu haya hupotea na nakuwa poa kabisa,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka hii leo kuna watu ambao ukiwaeleza habari za freemasons huona tu kama ni hadithi za kufikirika na kwamba hazina uhalisia wowote katika maisha ya kawaida.
Well, kama wewe ni mmoja wa watu wenye imani hiyo nikwambie tu uanze kuifuta dhana hiyo kichwani mwako maana THIS THING IS VERY REAL...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.