alikosea njia akifi,kiri kanisani ni hifadhi ya taifa, ingekuwa ruaha national park ningekuelewa mkuu, maana takwimu za taifa zinasema disign yake inakaribia kupotea nchini
CV ya kihuni iliyoandikwa na muhuni mwenzake, tunachotaka sisi ni O-level, alipata alama zipi na A-level alipata zipi, mbona mnyika kaeleza, au ana Gentleman bachelor degree aliyepata wakili wangu Ridhiwani kikwete. Hakika wasomi makanjanja
majitu yale yale, machumia tumbo ya Arusha mjini, amerudishiwa ubunge ndo mnaanza tena......mbinu zenu za kimagamba zimepitwa na wakati...........msomi usiyeeleweka, nyie ndio mnaenda kuchukua elimu na sio kusoma
hawa wachumia tumbo hamjaacha tu, arusha tunaijua sisi wala Dk hana sababu ya kuja kushughulikia mipasuko kimsingi njaa zenu zitawaua, milijpanga kugombea ubunge baada ya lema kuondolewa na mahakama sasa mmeshindwa mnakuja na hoja za viwanja. sahauni jimbo la arusha mjini, nyie nendeni kwa...
waliokuwa wanategemea kugombea ubunge arusha mjini kwa kumchafua lema wakachukue form. na wilioapa kwamba lema akishinda warudisha kadi za chadema wakati ndio huu. Chadema, Chadema, Chadema.....................Mungu ibariki Chadema
Ndugu zangu wana wa jamii forums, kwa moyo wa dhati na kwa nafasi kubwa kabisa ndani ya moyo yangu, nina kusudia kuandika machache kuhusu vijana na mabadiliko katika ulimwengu huu wa upya unaoendana na sayansi na teknologia nikilenga haswa kundi la vijana ambamo mimi ni miongoni mwao.
Nitaanza...
I read the topic submitted by the author, in between the lines, and therefore come up with the following opinions; as being among the citizens of Arusha urban, educated, patriotic and exceedingly in love with CHADEMA politics, i would like to inform Tanzanians, firstly, the CDM is a strongest...
Its time to discuss fundamental ideas for fundamental change and in advocating this, i call upon all people, especially change aspirants, to support, the strongest opposition political party in the country, CHADEMA. Nape to me is more-less a parrot.
Bandugu serekali hii, kupitia muhimili wa kutoa haki inhukumu wezi wa kuku na vibaka, poisi wetu katika kutafuta wahalifu wanakamata na wavuta bangi na upekuzi wa bangi mifukoni mwa watu na sio kazi yao kwende kukagua ndege zimebeba nini na zinaelekea wapi. Serekali dhaifu hii batanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.