Salam wakuu. Hakika nimepata mgagasiko WA nafsi na roho katika hili. Dada zetu na mama zetu mmekua mkitumia miili yenu kama sehemu ya ahsante pale mnapo tendewa jambo Fulani jema au haya kusaidiwa matatizo madogomadogo. Nayazungumza haya kwa uchungu kwa hili lililo nikuta mei mosi ya leo. Kuna...
Salam wana jamvi.Je kuna ukweli wowote kwenye swala la vikoba kutoka Reginald Mengi foundation kuhusiana na mikopo wanayotoa? Au ni wahuni wachache wanataka kujivunia fedha za wasio na uelewa?
Habari wa na jf? Wanajamvi hali ya maisha yangu kwa sasa imekuwa tete. Tangu dec 2012 nipo jijini kwa uncle tumbo moja na mama kwa minajili ya kumsaidia katika shughuli zake za biashara na kusubiri kama nitapata ajira ya kueleweka popote pale. Uncle ana aunt tunayeishi nae japo hajamuoa na...
Kwa muda sasa kumekuwepo na udhaifu na uzembe wa hali ya juu kwa viongozi wa halmashauri ya wilaya ya Mkinga Mkoa wa Tanga ambapo wameshindwa kutoa mshahara kwa wakati na badala yake wamekuwa wakilipa mishahara tarehe nne au tano bila kutoa maelezo yeyote. Huu ni udhaifu mkubwa na niuvunjaji...
Natafuta kazi ya u house boy nina 28yrs najua kiswahili na kiingereza fasaha elimu yangu kidato cha sita kwa sasa nipo dar. Mshahara maelewano aliye atakayekuwa tayari ntamtumia ac ya email
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.