Tope
Member
- Jul 23, 2012
- 74
- 61
Kwa muda sasa kumekuwepo na udhaifu na uzembe wa hali ya juu kwa viongozi wa halmashauri ya wilaya ya Mkinga Mkoa wa Tanga ambapo wameshindwa kutoa mshahara kwa wakati na badala yake wamekuwa wakilipa mishahara tarehe nne au tano bila kutoa maelezo yeyote. Huu ni udhaifu mkubwa na niuvunjaji mkubwa wa mikataba na waajiriwa kwani unapokwenda kinyume na mkataba ambapo mkataba unasema mwajiriwa atapokea mshahara kila mwisho wa mwezi na si mwanzo wa mwezi