Niliwahi kuwaona wakizima moto kwenye msitu wa hifadhi uliokuwa unaungua, hakika ilikuwa ni vita kali sana kati yao na moto usiku kucha bila koogopa nyoka na wanyama waliokuwa wanakimbia moto. Kwa hiyo hawa watu ni msaada mkubwa sana kwa jamii kwani hatuna ndege za kutosha kuunyunyizia maji au...
Kwani unamtaka wa nini kama yeye hataki hata kupokea simu yako? Unamdai?
Kama vipi wakati mwingine uwe unamwekea kile kifaa wanachowekewa wanyama pori ili kuweza kum trace popote anapokuwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.