Habari ya Mifuko ya jamii kukatalia pesa ya wafanyakazi imeishia wapi?? manake jana mtu mmoja ameenda NSSF, kudai mafao yake akakataliwa... sasa afanyeje?? ushauri wenu Tafadhali....
Mimi nafikiri wewe ndio huna kazi ya kufanya, kwani kuna kosa gani kufanya kazi??? ndio maana wenzetu wanaopenda kufanya kazi kama china wameendelea sana, wewe na wenzio kila siku mapumziko, nyerere day, karume day, siku ya uhuru, muungano sabasab, nanenane, mapinduzi day, muungano day, n.k
Hongera mkuu kwa shule nzuri katika uhasibu, ila MASTERS YA MZUMBE nashauri usiweke kabisa miongoni mwa shule zako, kwani haina tofauti na Certificate ya CBE
Kwa hili nitawaunga mkono UAMSHO, tufanye kazi kwani huu ni upuuzi wa Wajinga wachache wanaofaidi posho, na huyo mkurugenzi wa SSRA, Nina wasiwasi nae, anaitwa nani na alitokea wapi kabla ya kuajiliwa hapo??? alishindanishwa na wengine???
Hili ni changa la macho, hebu jiulize wewe utakuwa na mafao kiasi gani mpaka ukopeshwe nyumba??? ndugu zangu kila siku mnaabiwa serikali haina pesa, na uchaguzi unakaribia watapata wapi pesa ya uchaguzi 2015??? na safari za nje, posho za vikao????? Watanzania tuamke, wanasema watawapa mikopo ya...
Na barabara ya kwenda nyumbani kwake hapa kijitonyama anawekewa rami, wakati barabara ya kuingia sokoni makumbusho ina mashimo kama sio Mahandaki.....kweli heri wanaodhulumiwa kwa ajili ya haki ..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.