Tunapojadili mada tujaribu kuangalia misingi halisi ya maendeleo ya nchi tunajadili kwa hasira kwa sababu hatuna hela..turudi tena kwenye mikataba na majadiliano tutapata ukweli..lakini pia tukumbuke kuwa dangote ni mfanyabiashara na sasa anakabiliwa na madeni..lakini anatumia kiwanda kutafuta...
Usiishi maisha ya birdman,didy,jay z na wngn wakati unatoka familia ambayo Kula mpaka msubiriane,mtu anapoendesha escalade,hammer,Lamborghini,bughatti,a ya yale yote ambayo Yana high fuel consumption angalia pia anaingiza nini katika kazi yake na katika nchi zao mafuta bei yake ikoje,vinginevyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.