Mumeamkaje, mwenzenu nina hali mbaya. Nimenyimwa unyumba mwezi wa pili sasa, chanzo ni ugomvi wa hapa na pale usiohusiana na mapenzi. Tumesuluhishwa na ndugu na marafiki lakini hola!
Sifikirii kuwa msaliti, nafikiria kufanya maamuzi magumu ya kujiunga na chaputa. Msaada jamani
Habari zenu
Wanajamvi ni jambo la kushangaza nimenunua LUKU kupitia mobile banking transaction kwa sh. 25,000/= cha ajabu nimepatiwa units 10 tu.
Kwanza sijaona ile breakdown kama ambavyo nikinunua kwa M pesa au Tigo Pesa ila units zimeingizwa moja kwa moja kwenye mita.
Hivi kuna namba za...
hamjambo wanajamvi, nina mahusiano na bwana mmoja kwa muda wa miaka 8 sasa. between 2008-2009 tulibreak baada ya mama yangu kumkataa yeye akafunga ndoa, baada ya miaka miwili akataliakiana na mkewe akarudi tena kwangu. ila mama yangu kagoma kabisaaaaa asinioe.
kisa cha kumkataa ni hiki; alizaa...
Heshima mbele wana MMU
Naomba kuuliza, Hivi kipi bora kati ya hivi viwili.
Kuolewa mke wa pili au kuwa nyumba ndogo. Toa sababu za kukubaliana na mojawapo kati ya hayo.
Hii imekaaje wanaMMU,
Unakuta mwanaume kaachana na mkewe wa ndoa kisha akaoa, ilakwenye documentation anawaandika mke wa ndoa na watoto ila Bi. Mdogo ndo hivyotena haandikwi wala hana reference yoyote katika document za huyo mwanaume. Lakini bi.mdogo ye anachojua kuwa kaolewa ila hana ndoa na...
Salaam Wadau,
Nilichukua mkopo kutoka Benki moja hapa nchini, niliambiwakuwa riba ni asilimia 21 (21%) ya mkopo nitakaochukua na nitarejesha kwa mudawa miezi 48. Baada ya kupiga hesabu zangu nikakubaliana nao kisha nikachukua mkopo huo. Ila baada ya kuuchukua huo mkopo nikapewa schedule ya...
habari za asubuhi mabibi na mabwana katika jamvi hili.
jaman naombeni ushauri. nimepata kazi katika miji tajwa hapo juu. tabora na kigoma. mimi binafsi sijawahi kuishi wala kupita katika mji wa kigoma. isipokuwa tabora nilishawahi kupita tu tena nikiwa kwenye basi/ treni. je kati ya tabora na...
Ilikuwa ni mwaka 2005 nilipokuwa nasafiri toka Mtwara kuja Lindi, (mtwara ndio nyumbani na Lindi ni kituo cha kazi) ndani ya basi nilikaa kiti kimoja na mkaka mtanashati.. tulisalimiana na kila mtu akachukua hamsini zake safari iliendelea lakini kwa bahati mbaya gari tulilokuwa tumepanda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.