Ni siku nne tangia mwanafunzi chuo cha uhasibu Arusha auawe! Vyombo vya usalama na serikali vimeweka nguvu zote katika ukamataji wa mbuge LEMA. Hakuna taarifa zozote za kusakwa na kukamatwa kwa muuaji.
Je hii inaashiria nini?
Au wanatwambia kuwa aliye kamatwa ndiye muuaji? Lema alikamatwa...
Tumeshuhudia mgomo wa walimu ukianza kwa kasi ya ajabu hapo jana! Lakini cha kushangaza,leo karibia nchi nzima
walimu wamerudi kazini kimya kimya. Hii inaashiria nini? Je huu ni uoga au tuuite ni utiifu? Je kwa mtindo huu walimu kutishiwa siku moja tu na kuanza kusalitiana inaashiria nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.