Nafikiri kama hujui maana na aina ya muungano si vibaya ukakaa kimya. Miungano iko ya aina nyingi. Ya kisiasa Ya kuuchumi kijamii/utamaduni na kijeshi. Muungano wetu ni wa kisiasa. Duniani mikataba ya miungano ya hivi ndo inatupa Federalism, Unions etc.
Mifano uliyoitaja wewe ni ya kiuchumi. Ni...
nakumbukia hadithi ya mjomba wangu kule longido aliyesema wanasiasa ni kama manyani tu.
Wote ni wala mahindi.hata kama ametokea songea au mpanda. Tunabadilisha aina ya nyani ila bado tunaendela kupanda mahindi. Watayala tu hawa.
Zamani, mababu zetu kabla ya kwenda kuposa, walikuwa wanafanya uchunguzi wa binti, familia yake na tabia zake. cha msingi walikuwa wanaangalia kama kwao huko kuna matatizo ya wizi wizi ,umbeya, gubu , uwezo wa kuzaa nkZ Wakiridhika posa inapelekwa na taratibu zingine zinafuatilia.
Nimekuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.