Kuna mbinu nyingi za kufikia malengo, ndo maana hata paper wanafunz wapga chabo, wanatumia vibuti na mbwembwe kedekede. So we usiyetaka mabadiliko kaa huko huko.
Naitwa Williard Maimu, ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha Mzumbe Morogoro.
Nilipoteza vyeti vya kidato cha nne, sita, diploma na cheti cha kuzaliwa. Naombeni msaada nawezaje kuvipata.
0714460301
ni ukosefu tu wa upeo, kwa kuwa mchango ni kufanikisha tukio na sio kwa interest za mchangaji. Ukitaka bia so lazima uvizie ulikochanga na km hunywi soda bas kunywa maji. Pombe haikubaliki.
Mwanachuo wa masters aliyekuwa anasoma mzumbe morogoro amefariki dunia baada ya kunywa sumu kufuatia matokeo mabaya ya UE yaani alidisco. Marehemu pia alikuwa ni afisa mipango dodoma. Alizikwa kwao mkoani njombe tar 8.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.