But absolutely I'm very familiar with that cliche but let me ask you this simple question Democracy is a government of the people by the people and for the people but Democracy in Kenya is a government of tf the Kikuyu.by the Kikuyu and for the Kikuyu Why is that????
Uhuru Kenyatta will find it very hard to lead his country if he wins!! Bearing in mind that he has a case to answer in ICC let's keep our fingers crossed and see what he gets out of forcing his way in the Kenyan Top Office
Habari za Jioni Wana JF Katika Pitia yangu ya magazeti ya Leo Nimepata kuona Habari moja ambayo imenishangaza Kunisitisha na kuniacha nimeduwaa pale niliposoma kuwa aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano Wa Tanzani Mzee Cleopa David Msuya amelazwa katika moja ya hospitali wanazotibiwa...
let me start by congratulating you on your amazing approach on this current issue indeed Lindi and Mtwara have been isolated for many years but as the old saying goes "The stone looked down by the masons has turned up to be the foundation stone let us keep our fingers crossed and see what comes...
Mheshimiwa yupo Davos anakula bata huku mambo haya yakiendelea tunavyoongea hadi sasa IGP Said Mwema ameshatua mjini Masasi kujaribu kuzima vurugu hizi Kusema Ukweli wadau Jeshi la Polisi Limeoza pamoja na kusema kwamba Said Mwema ametoka Interpol lakini sioni hiyo Interpol Katika Jeshi Hili La...
My Take in this argument is that " Politics is a very dirty game full of Hypocricy these women are behaving like teenagers I don't know where this country is heading to!!?? But all in all EL is trying to kill this Country"
Wana JF Katika pita pita zangu katika mitaa mbalimbali nimeshuhudia POLISI wakiwa mita chache tu karibu na misikiti ili kuzuia uvunjifu wa amani wowote unaoweza kutokea baada ya swala ya ijumaa..
They Can Say that CHADEMA wamehusika lakini wazungu Wanasema I quote "An eye for an eye and a tooth for a tooth" & "What goes around comes around" what they did to Hon Machemli and Hon Kiwia has boomeranged back to them
Hatua ya kuliuza Gazeti la Rai na Mtanzania ilikuwa ni Hatua ya kumnyamazisha Jenerali kuanika uozo unaoendelea hapa nchini.. Jenerali is the most powerful intelligent political activist I know..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.