Kwanza kabisa, naunga naunga mkono waraka wa Kanisa (hakuna swali hapa).
Ila, kauli ya viongozi wa TUKTA inakatisha tamaa kiasi kikubwa na kuonyesha jinsi viongozi hawa wanavyojipenda wenyewe kuliko Watanzania na vizazi vijavyo. Iweje leo hii waone sababu ya kuandaa waraka baada ya kuambulia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.