Wana Jamvi, Ni Busara viongozi wa Kisiasa Kutuhumu na Kukashfu watendaji wa Vyombo vya dola ambao ndio walinzi wa Nchi yetu. Nimepitia Threads kadhaa na kuona kuwa Wakuu wa Dola wanafanyiwa kejeli na kutuhumiwa kwenye mambo mengi ya kizushi eti tu kwa sababu wanalipwa mishahara ya walipa kodi...
Mkuu naingiwa wasiwasi na mwenendo wako, kwa nini unampenda sana Premier CAMEROUN? Ungeenda wewe ulikuwa na hamu sana ya kupokewa naye? SIMBA KAPAKATWA PUB
Mungi Mkuu naingiwa wasiwasi na mwenendo wako, kwa nini unampenda sana Premier CAMEROUN? Ungeenda wewe ulikuwa na hamu sana ya kupokewa naye? SIMBA KAPAKATWA PUB
Tuhuma hapa ni Kutelekeza Mke wake na Watoto, mama huyo anadai haki yake habari ya kununuliwa si juu yetu, habari ya hila ya kisiasa dhamira ndani ya nafsi ya Dr. Slaa inafahamu. MASWALI YA KUJIBIWA NI KAMA IFUATAVYO:
1. WALIWAHI KUISHI PAMOJA ZAIDI YA MIEZI SITA?
2. DR. SLAA ANATUNZA WATOTO...
sina chama cha siasa niponipo kwanza, nafanya shughuli zangu zinaniingizia kipato halali nimeajiri vijana saba wote graduates wa hapa nchini. Maoni hayo yalikuwa mtazamo wangu tu, sijapenda unavyoni-force kuamini unachoamini. Nimeichangia ccm na chadema kwa nyakati tofauti, sijui mwenzangu...
atakanushia wapi kwani kubenea alimfuata au ameandika tu, anaweza kukanusha hilo likaibuka jingine la kizushi pia. Mambo ya ngoswe .......ya nini kulala roho juu kisa mdomo? Mdomo waponza kichwa
JF Staffs, hii siyo sehemu ya masharti yenu?
1. Kumvunjia heshima, kumkejeli, kumtukana, mjumbe yeyote.
Wadau wengi wamekuwa wakiivunja kanuni hii ambayo tulikubaliana tangu 2006; haturuhusu kwa namna yoyote iwayo kuvunjiana heshima kwa makusudi wala matusi kwa namna yoyote iwayo. Mfano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.