Search results

  1. N

    NSSF, akhsanteni kwa fao lenu la matibabu bure kwa wanachama wenu

    Nimefurahishwa saaana na fao hili ambapo mimi natibiwa na mke wangu na watoto wangu buuurreeeeeee. Hongereni saaana. Nimeamini mpo juu.
  2. N

    Nataka kununua Suzuki kei naombeni ushauri

    wadau naombeni munishauri nataka kununua SUZUKI KEI kwa shughuli zangu binafsi, nimeipenda kwa sababu ina CC ndogo yaani 660 tu. na pia naweza kuifanyia biashara kama vile taxi kama nikiamua ila tatizo sijajua ubora wa hii gari. wakuu naombeni ushauri wenu.
  3. N

    Nataka kusoma online master finance katika hiki chuo EDINGBURG COLLEGE OF BUSINESS - TANZANIA

    Wadau naombeni kujua uhalisia wa hicho chuo, kinatambulika hapa kwetu tanzania ?? vp shule yake ni ya ukweli ?
  4. N

    kuna umuhimu gani wapinzani kuendelea na bunge la katiba ?

    licha ya kuwa kila mpinzani anaesimama bungeni hutoa hoja na takwimu kutoka katika rasimu ya tume ya mheshimiwa jaji warioba na kuelezea kinaga ubaga lakini ccm wamebaki na misimamo, kushangilia na kuzomea kana kwamba katiba ni inayotengenezwa ni ya vyama kumbe ni ya wananchi. nashauri wapinzani...
  5. N

    Siamini kama Serikali tatu itasababisha gharama kubwa!

    Kumekuwa na hoja kuwa uwepo wa serikali tatu katika rasimu ya katiba kuwa itasababisha gharama kubwa za matumizi kwa serikali hizo. Kwa maoni yangu hoja hii naona si kweli kwa sababu, rasimu inashauri kuwa ukubwa wa serikali ya sasa umepitiliza hivyo naamini kwa serikali tatu, mawaziri watakuwa...
  6. N

    CHADEMA ahidini kutatua kero za Waislam

    serikali ya CCM imeshindwa kabisa kutatua kero mbalimbali za waislam nchini, Kuna kelele nyingi zinapigwa kuwa CHADEMA kina mtizamo hasi katika mambo ya Waislam, sasa maoni yangu ni kuwa CHADEMA ahidini kutatua kero za waislam ili kuondoa fikra hizo, na pia kuongeza wapiga kura wengi zaidi wa...
  7. N

    Bunge lapendekeza suluhisho la udini

    NDUGU KABWE Z. ZITTO, MB  BUNGENI TAREHE 6 MEI, 2013 Mheshimiwa Mwenyekiti, nakushukuru sana kwa kunipa nafasi ili niweze kuchangia leo katika mjadala huu muhimu sana. Hapa Afrika kulikuwa kuna nchi, na bado ipo, inaitwa Ivory Coast. Ilikuwa ni nchi ambayo inasifika sana kwa amani na...
  8. N

    Bunge latoa suluhisho la udini

    NDUGU KABWE Z. ZITTO, MB  BUNGENI TAREHE 6 MEI, 2013 Mheshimiwa Mwenyekiti, nakushukuru sana kwa kunipa nafasi ili niweze kuchangia leo katika mjadala huu muhimu sana. Hapa Afrika kulikuwa kuna nchi, na bado ipo, inaitwa Ivory Coast. Ilikuwa ni nchi ambayo inasifika sana kwa amani na...
Back
Top Bottom