Jana tu kuna mzee anajifanya anamlinda sana bintiake nilicho Fanya nimewasha gari mpaka home kwake nikapaki nje nika mtext mtoto baby njoo nipo nje Akaja nikamkaza na misifa juu toka kwa mtoto baby ww mjanja ahahahaha na leo naenda
Habari za mchana wakubwa,
Moja kwa moja niende kwenye mada.Nahitaji toyota mark x namba yoyote ile hata A kikubwa iwe katika hali nzuri.Bajeti yangu 8million.
Asante na karibu kwa kuchangia kama huna neno please pita kimya kimya.
Habarini wana jamvi ,
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza naomba kusaidiwa kimawazo.
Nilienda kwa ndugu yangu kumuomba anikopeshe fedha kwa ajili ya mtaji lakini kinyume na matarajio yangu, ndugu yangu huyo alinijibu mimi hela ya kukupa sina ila naweza kukufundisha jinsi ya kupata pesa.
Ameenda...
Mimi sio mnafiki niseme tu ukweli Nimefurahishwa sana na kitendo cha wananchi kuua huyu polisi mimi polisi siwapendi kutoka uvungu wa moyo wangu !!
Ukiona unasikitika basi wewe huwajui hawa jamaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.