Serikali sasa imefika wakati inabidi wakubaliukweli maana wameshazoea nchi sasa na kujihisi serikali na CCM, 2015 mabadiliko yanaitajika CCM imefika wakati wa kupumzika na kutupuliwa mbali kwa unyama wao...
Natamani Babu Nyerere angekuwa hai angecharaza wote Viboka hasa angeanza na Nyooka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.