[QUOTE=Somoe;
wale mavuzi lela kama...... lengo sio kusikiriza ambao hawajuwi... ugekuwa umeolewa/ au kuowa ungefaham namaanisha nini...! ngoja nikupe kidogo... ukiwa na matatizo na mke au mume nilazima wazazi wote wa kuke na kuume wakutane na kutatua tatizo la wahusika... kwa ufaham wangu...
unandoa ya bomani...? kama hauna na huna ufaham juu ya hilo sio lazima...! nahisi wewe haikuhusu wala hujuwi lolote. wewe umri
wako bado mdogo ndio maana hujuwi kawaulize wakubwa zako.....¡
habari za cku wana JF.....? nitafurahi sana kusikia maoni yenu hasa mlio oleana bomani.. yani ndowa ya kiselikali. hivi inakuwa na ushirikiano kweli wa pande mbili....? hasa wakati wa matatizo ya wanandoa hawa...? natumaini mengi kutoka kwenu asante by Luku_77
[QUOTE=genltesoul;...............sijuwi bado unasubiri nn kumludisha kwao...? wewe ulitaka mfanya kazi sio..? wala hukuambiwa kabla juu ya tatizo lake........ umejificha kwenye jumba bovu na mvua inanyesha subiri likuangukie........!!!!!!!!!!!!!!!
[QUOTE= safi sana kaka nakutakia kila la kheri ila nakutahadharisha jukwaa hili lina kila aina ya pipol! wapo wakweli na wasanii! nenda taratibu jambua upi mchele zipi pumba! nakitakia cku njema!
sasa mtu kaomba msaada mwenye kaujuzi atoe.! kama huna acha wenye nacho waseme! maisha ya sasa ni magumu sana kupanga uzazi ni muhim.!
Mimi nakushauri kuna vitabu vinauzwa vinahusu uzazi.! vinaeleza wakati gani ni salama ambao utafanya tendo bila condom, ukikipata kitabuhi onana na dagitari...
habari za leo wa jf ? anae tafuta hachoki bali hupumzika tu, leo naamua niendelee na zowezi la usaili
umri wangu ni 35 jisia mme nina watoto 2. elimu ataijuwa badae, rangi yangu mweusi, nafanya kazi ambayo inakizi mahitaji ya msingi.
ninae mtafuta wakike miaka 22 hadi 32 sifa mama awe...
[QUOTE=AmKATRINA;45 pole sana ngoja nikueleze kitu mpishi mzuri hufanya maandalizi kama anapika wali ni lazima mchele auchambue. na wanaume wa siku hizi hawajuwi haya! wakiona mchele wao kupika tu. sasa wewe nahisi keep in tuch with mimi nakutakia siku njema.
ndio maana ukimkuta alie keketwe kaamuwa kufanya umalaya hashikiki anaweza kuumaliza mji wote. na lie tulia hata akikaa miaka 10 bila mme kwake ni sawa tu. ndio maana selikali ikapiga marufuku! maana wanakoseshwa haki yao ya msingi..! ya kupata utamu na raha ya tendo landowa.
huyo kina alikuwa yuko asili 100% nimeshawahi kukutana na dada kama huyo! ila alikuwa muwazi sana aliniambia kila kitu juu ya anvojisikia. nikweli hafiki kileleni kabisa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.