Search results

  1. N

    Waziri na katibu tamisemi wawajibishwe kwa system kucheleweshwa malipo halmashauri?

    Kuanzia mwaka huu wa fedha 2012/2013 mfumo (system) fedha mapato na malipo ya fedha katika halmashauri unatakiwa uunganishwe na TAMISEMI ili TAMISEMI waweze kuona transactions zinazoendelea halmashauri na kuweza ku control malipo yaliyo nje ya bajeti na kuangalia hali halisi ya mwenendo wa...
  2. N

    Waziri tamisemi na katibu mkuu wawajibike kwa kuchelewesha huduma za fedha katika halmashauri

    Kuanzia tarehe 1 July 2012 (mwaka mpya wa fedha) malipo ya fedha katika Halmashauri yamesimama. Hii imetokana na TAMISEMI kutaka kuanzisha mfumo mpya wa malipo ambao unakuwa centralized. Ina maana mapato na matumizi ya kila siku ya halmashauri yatakuwa yanaangaliwa na TAMISEMI mojamoja kwa...
Back
Top Bottom