Mimi mwalimu wa shule ya sekondari iliyoko Wilaya ya Mbozi natafuta mwalimu wa kubadilishana nae, yeye aje Wilaya ya Mbozi mimi niende Halmashauri ya jiji la Mbeya au Mbeya vijijini.
Nina miaka minnne kazin nina TSD na nimethibitishwa kazini. Mwenye interest tuwasiliane pm :
Miaka kumi iliyopita mwanahabari mmoja aliwahi kuandika hivi:
Kuepusha fedheha kwa nchi mskini, kwanza lazima nchi msikini zitafute njia bora za kuleta maendeleo kwa wananchi wao Kwa kutumia vema rasilimali walizonazo.
Nchi masikini hazijiamini ziko legelege mno jambo dogo tu laweza...
Miaka kumi iliyopita mwanahabari mmoja aliwahi kuandika hivi:
Kuepusha fedheha kwa nchi mskini, kwanza lazima nchi msikini lazima zitafute njia bora za kuleta maendeleo kwa wananchi wao Kwa kutumia vema rasilimali walizonazo.
Nchi masikini hazijiamini ziko legelege mno jambo dogo tu laweza...
Hawa jamaa walikurupuka matatizo hayo yapo karibu kila mahali palipo fanyika hizo semina za sensa kwa nchi nzima na sidhani kama kutakuwa na ufanisi katika zoezi zima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.