Benitez anatuzingua, ila habari njema kwa wadau wote ni kuwa "THE SPECIAL ONE" anarudi na anakuja na R.Falcao. Nimesoma kwenye mtandao kocha wa Young boyz yaan ARSENAL ameisha anza kuhaha... Big up to all Chelsea fans.
Hakuna ubishi ya kuwa taifa lolote linakombolewa na vijana. Lakini je vijana wa Tanzania tunajua hilo au tunabakia kupiga kelele bila kuonesha upambanaji wa dhati ili kulikomboa taifa letu? Tuamke vijana tusikalie kuvaa miregezo kwa vijana wa kiume na kuvaa nusu uchi kwa vijana wa kike. Note...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.