Kampuni hii imekua ikijiendesha kwa ujanja ujanja Wa kudhulumu hali za msingi katika mikataba wanayoingia baina yao na Wateja wao.mfano mteja katika mkataba wake ana kipengele cha Ku clear deni LA mkopo pindi atakapotaka kufanya hivyo, shida inakua kutokea wakati mteja amejaza documents zake...
Kaka Dstv habari nyingine kabisa, kama umeset dish signal strength and quality zikawa above 70% wewe hata mvua ya mawe uje anapiga mzigo, Mimi toka nimeanza kutuma nakaa ukanda wenye mvua sana Kilimanjaro lakini sijawahi kumbana na hicho kimeo cha kukata kata. Ndio mana tunalipa ghali usifikiri...
Kumekua na upotoshaji Wa ajabu unaofanywa na upinzani katika kiwango kisichoelezeka. Wanatuambia mwaka 2015 waliibiwa kura za uraisi, OK tu assume kuwa kweli mliibiwa kura za uraisi hivyo mlishinda uraisi, sasa tuje katika upande Wa viti vya ubunge, mlishinda vingapi kulinganisha na Chama...
kumbe kaka hujui, gari inapokua brand new FOB na CIF ndio hua kubwa but cost zingine ambazo ndo hutuua kama Import duty,engine capacity, year of manufacturer na vingine na hivi hua ghali endapo gari yako ni ya zamani sana ni ni nafuu almost 0 endapo gari yako brand new
Tuache upuuzi kama hujui hata main point ya speech ya muongeagi bora ukajisaidie you kwanza.hapa Lipumba hajakataa elimu but isiwe kigezo kwani according to mifano yake kaonyesha watu wenye great success but hawakupiga xul(hapa ni hekima na busara) but tucheki mtu kama Muhongo,Mwigulu na engine...
Inasikitisha kuona watanzania tulio wengi tunaishia kulalama kila uchao kuhusu uozo wa viongozi wetu na maamuzi yao ya hovyo lakini tunashindwa kuchukua hatua stahiki.
My take:
Ni bora mtu ukakaa kimya kuliko kutokwa na povu jingi mdomoni ktk mitandao ya kijamii wakati ukuambiwa u act ktk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.