Je ni kweli Tanzania tunaweza piga hatua kweli? soma hapa

Gheto's King

Member
Jun 27, 2012
11
0
Inasikitisha kuona watanzania tulio wengi tunaishia kulalama kila uchao kuhusu uozo wa viongozi wetu na maamuzi yao ya hovyo lakini tunashindwa kuchukua hatua stahiki.
My take:
Ni bora mtu ukakaa kimya kuliko kutokwa na povu jingi mdomoni ktk mitandao ya kijamii wakati ukuambiwa u act ktk unayoongea huwezi.
Conclusion:
Upoyoyo wetu ndo umetumiwa ipasavyo na viongozi wetu kutumaliza ktk kila secta. wanajua utambwela after few days unasahau. Ingependeza kama tungenyamaza afu tujitazame kama tunaweza kufanya tunachosema. Ni aibu nadhan hata mataifa ya wenzetu wanatucheka tunavyohangaika kila uchao kutafuta mchawi wakati mchawi tulionae anafahamika "UOGA". Nadhani hakuna taifa linaloongoza kwa kuwa na wananchi "WAOGA" kama Tanzania.
 
punguza hasira. kila jambo lina mwanzo wake na dalili ya mvua ni mawingu.zamani hata hivi vyama vya siasa havikuwa na supporters kama unao waona miaka hii. hizi ni dalili tosha kuwa mwisho wa wakoloni weusi unakaribia.miaka ya1990 huko kila aliye kuwa upinzani alikuwa anaonekana na jamii kama ni mtu aliye changanyikiwa fulani hivi,leo hii CDM inashinda chaguzi wao wanachakachua na wakati mwingine wanashindwa kabisa.kuwa mpole subiri 2015 utaona kuwa kumbe watanzania wameamua. VIVI CHADEMA,VIVA M4C!!!!
 
Malalamiko ni kutoa alama kuwa mambo hayako sawa.Ni jukumu la watawala kusoma ALAMA ZA NYAKATI,,malalamiko yasiposikilizwa kitakachofuata ni sawa na gari kuacha njia matokeo yake hakuna asiyejua.
 
Watanzania wako macho sana! wenyewe wako teyari kufa kumtetea fisadi (mbunge) ahingie BUNGENI lakini hawako teyari kumtetea NDUGU yao anapoonewa au kuuliwa? watanzania wanakipa kipaumbele chao NI WATAWALA lakini HAKI ZA WATU baadae. EVERY ONE IN THE COUNTRY NI SELFISH!!!
 
Back
Top Bottom