Echililo,
Kwanza haonyeshi hata simanzi kwa wafiwa.
Kama kweli alikuwa kwenye huduma ya kimungu kwanini alitoroka baada ya tukio na asikae akafarijiana na wafiwa na kuona namna ya kuwasaidia hata kwa maombi?
Jamani tufunguke akili basi
Habari za humu ndani.
Naona huu uzi ni wa mwaka 2014...
Naomba kujua kama utaratibu bado ni huo huo au vipi?
Nina frem nimeweka mashine za wachina zile za kubahatisha, then nataka kuweka na hizi za Premier betting sasa hizo process mbona jasho[emoji36]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sometimes huku JF mtu anaweza kuwa na ishu siriaz ila watu tunachkuliaga kila kitu .utani hivi au sio muhimu. Huyu jamaa kumbe alikuwa na matatizo siriaz ila tuliishia kumpa majibu ya hivihivi tuu mpaka ameaga dunia. RIP bro
Bro msaada wa kupeana mpaka Tracking number haupo... kuandikwa juu haimaanishi ndio nikupe namba.
Kuchukua mzigo unahtaji Tracking namba na ID yako.
Kwanza we nikupe hyo namba we nani??? Meneja wa Posta????
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbaya zaidi hii kitu niliagiza kama zawadi ya Sikukuu kwa watoto...
niliwaagizia watoto zawadi matata sana na wakaziona picha na nikawaahidi by Christmass watakuwa nazo saaasaaaa nimejieleza mpaka bas. Wanataka zawadi zao, inaboa sana.
Dingi nimekuwa tapeli mbele ya watoto...
Kweli, nikiingia kule kwa Posta Tz naambiwa haupo kwny system[emoji26] inaboa sana, niliwaagizia watoto zawadi matata sana na nikawaahidi by Christmass watakuwa nazo saaasaaaa nimejieleza mpaka bas. Wanataka zawadi zao, inaboa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za leo wanajamvi?
Nimekuwa nikiagiza mizigo mara kwa mara kutoka China na Singapore sanasana na Tracking inakwenda vizuri sana ila mzigo ukishafika Destination Country yaani Tz unaweza kukaa wiki 2 mpaka 3 hamna updates zozote kuhusu mzigo.
Kwamfano Nina mzigo umeingia tangu tar 6 Dec...
YEHODAYA
Ingependeza kama nikipata majibu ya swali langu, pia sio sahihi saana kuwaza kuwa woote wanaoambiwa wametenda kosa wamelitenda kweli!! Sometimes uonevu upo, pia hao trafiki unaosema nimewaona kama malofa - una uhakika? I always respect people na kazi zao sana. Usijibu kama huna majibu.
Habari za leo wadau. Naomba wenye uelewa wa namna ambavyo naweza kulalamika pale ambapo askari wa barabarani kanilazimisha kuandika fine bila ya mimi kuridhia kosa langu.
Nimewahi kukutana na mikasa mingi ya askari barabarani mpaka inafikia mahali nahisi labda kuna mambo siyafahamu au basi tuu...
Wakuu kuna wimbo naukumbuka baadhi ya mashairi ila siujui jina... Nahisi unaitwa BABA JENI
Uliponipita kituo cha basi,. mimi na watoto na mvua inanyesha baba Jenieeehh
utaua watoto baba Jeni eeh
Wimbo mwingine ni
Pajero ya babaa yangu Flora,
nilipokuwa nikimtembeza Manyara na Ngoroongoro Flora...
Jiandae kufeli sana huku mtaani. Yaani kama hujawahi kusup chuo basi huku uta-carry kabisaaaa...
Maisha mtaani hayana sijui formular maalum.
kama wewe ni mtafutaji kweli, angalia mtaaani kwako wana shida gani/ i mean kuna huduma/bidhaa gani haipatikani kirahisi? Je wewe unaweza kuifikisha...
Pumzika kwa amani Dr Mengi. Nimeusoma wasifu wa Dr Mengi nikakumbuka Kitabu kimoja aliandika Albert Nyaluke Sanga Chapter ya kwanza inaelezea kuhusu kurefusha wasifu wako.
Dr Mengi ana wasifu ambao unausoma mpaka unasisimka na kujiona unacheza makida makida hapa duniani. Ni mtu amekufa kwa...
Nilipambanaga nikafika Level ya Supervisor, maana unaanza kama Distributor then Assistant Supervisor, then Supervisor then Assistant manager then manager na kuendelea.
Nakumbuka nilikuwa natoka Arusha naenda Dsm kwenye BOM (Business Opportunity Meeting) kwa gharama zangu yaani mpaka zile Bonus...
Nilishawahi kujiunga Forever Living wakati nikiwa chuoni, mwaka 2009 nakumbuka, nilipewa mapromise ya kufa mtu. Niliifanya ile kazi kwa mda wa mwaka mmoja hivi ila kiukweli nilikuwa napata pesa za kawaida sana, unakuta zile bonus za mwezi ni kama laki moja au laki mbili, japo nilikuwa nasikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.