Haya ndo matatizo ya kumwacha mtanzania huru kufanya lolote icipokuwa asivunje shelia huyu nae utafiti kafanyia wap? Na kwann ucweke report yako hapa 2kaona umefanya kwa wanafunz wangap kwa kila chuo unajua reseach ww au unakurupuka hata hilo jina la CTU halikufai coz halifanan na nn unacho...
Tatizo co tro za kubana tatizo ni mvaaji kuna mwngn akivaa tro pana anakuwa kama nguo ndo zimemvaa na wngn akivaa hvy viguo had maumbile yake yote yanamchora so evry must know what kind of clothes zinazo mfaa kama wakubana au wa bwanga ni hayo
Hakuna cha wauni wala nn hawa wahun kwa nn wasichome misikit kila cku wanachoma makanisana na bahat zen wakristo wastarab kama isinge kuwa hvy pasinge tosha bt jrbn kuwa wastarab bash hayo maisha ya kuiga inchi nyingine au kwenye move za video achen mnakela xana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.