Nimekuwa nikifatilia maisha ya watoto waishio mitaani kwa muda mrefu sasa na kujikuta nikijiuliza maswali mengi ambayo kwa nyakati tofauti nimekuwa nikikosa majibu juu ya hawa watoto na serikali kwa ujumla. Wimbi la watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu limekuwa likiongezeka siku hadi siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.