kaka hapo kweli tatizo, labda utuambie, huyo bi mdogo anajua kama umeoa maana asije akawa anajua utamuoa. ila la muhimu meleze mkeo, naamini atakuelewa tu.
taratibu wanakuja, mwishowe watasema ukimaliza six may, june jkt then chuo mwaka unaofuata kama enzi za mwalimu. HII WIZARA YA ELIMU INAMABADILIKO KILA WAZIRI MPYA ANAPOINGIA.
HII NDO AFRICA, EVERY IMPOSSIBLE IS POSSIBLE IN TANZANIA
Ukitaka kujua freemasons na habari zao jaribu kuwasoma kwanza na sio kuangalia habari za magazeti ya udaku, upumbafu mtupu. Gadaff kafia pale darajani hiyo damu saa ngapi wakaikinga? Au haikauki?
Freemason hao wa shigongo ni wakuuzia magazeti yake ya udaku, upuuzi kwelikweli kusikia mtu...
Kuna rafikiangu aliambiwa hayo maneno naye akaamini kama wewe, alianza kulipa ada ya form five kwa loan board hadi chuo pale cbe dom, aliponisimulia nilimuuliza atafanyaje siku akikuta hana bikra? Nawe utafanyeje?
Msichana alimaliza chuo akammwaga mshkaji na keshaolewa singida kwasababu alijua...
Nchi nyingi zilipata ukombozi wa kweli baada ya uonevu wa kiwango cha juu kwa wananchi uliofanywa na serikali, ukisoma historia ya ufaransa na mfalme louis, baadhi ya nchi za kiarabu africa. Na tanzania uhuru wetu upo jirani zaidi ya ilivyotabiriwa. Thanx god, nimeishi kuuona ukombozi wa kweli...
itakuwaje pale baba mzazi atakapoomba ruhusa ya kumuona mwanae? au atamuasili?? haya maamuzi mengine ni magumu sana na yanahitaji kufikiri kwa mapana sana kabla ya kuamua. Miye kumfumania tu ni kosa kama dhambi ya kumdhihaki roho mtakatifu(haina msamaha) naye ataamua ikiwa atanifumania...
shukrani Rocky kwa taarifa, UGONJWA HUO UMEENEA SANA MAENEO YA MKOA WA KAGERA HASAHASA KARAGWE, RAFIKI ZANGU WENGI SANA WAMEUGUA NA UPONAJI WAKE SI WA UHAKIKA MAANA WANASEMA WAKITIBU NA KUPONA HUWA UNAJIRUDIA BAADA YA SIKU TATU HADI NNE MARA BAADA YA KUMALIZA DAWA.
MMOJA ALIPEWA DAWA ZA AINA...
Tatizo mtambuzi tuliaambiwa kushiriki lile tendo kabla ya ndoa ni uzinzi, kwahiyo kuiombea dhambi ni kama kutenda ile dhambi tuliyoambiwa haisameheki(kumdhihaki roho mtakatifu)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.