Ray of hope on horizon for TTCL
BY SYLIVESTER DOMASA
29th January 2015
Email
Print
TTCL Chief Executive Officer Dr. Kamugisha Kazaura (R) together with MS Huawei Technologies Managing Director, Bruce Zhang shake hands after sealing a US$182million deal on Tuesday.
Tanzania...
Sijui kama kuna thread tayari inazungumzia hii topiki lakini nimeandika kama iko tayari inaweza kuunganishwa na hiyo nyingine. Nina maswali ambayo wanaojua wanaweza kunisaidia. Swali langu la kwanza kama sikosei kuna chama au advocacy group kilichoundwa kwa mujibu wa sheria chenye lengo la...
Lazima tukubali bila yanga na simba kwa sasa mpira wa bongo utakuwa utachusha sana kinachotakiwa ni watu ambao mnajua mnaweza kubadili uendeshwaji wa hizo timu muingie ndani na kuomba uongozi na mlete mabadiriko mnayoyataka lakini sio kuzivunja hizo timu, bila hizo timu mbili hapa nchini hata...
Juzi nimeona Mheshimiwa waziri akipokea msaada wa computer na dola elfu kumi kutoka Huawei, sasa kweli jamani hawa jamaa wa kichina wakitaka kazi hapo TTCL uongozi wa TTCL utaweza kweli kuwakatalia kitu hawa jamaa wakati waziri amefadhiliwa kwenye jimbo lake huko Pemba? Kwenye nchi zingine hili...
Kuna hii habari ilitoka ITV jana kuhusu Mengi na sakata la mtoto wake kubambikwa dawa za kulevya na ametaja majina ya maofisa wa polisi
http://www.youtube.com/watch?v=nwSdy7G4tXI&feature=player_embedded
Nimeona hii makala na nikajiuliza je hali kama hii inawezekana hapa bongo au itakuwa ni uhaini?
Australian Micro-Nations: Rebels Begin Home Rule After Rejecting Local Council Authorities | World News | Sky News
Share5 Share Comments (3)
3:41pm UK, Sunday May 23, 2010
Ian Woods...
Nadhani ubaya wa baadhi ya watangazaji wa hiyo Radio ni ile ya kuwakandamiza watu wengine ambao hawana uwezo sawa naoko kwenye kupata air time, ni lazima tukubali kuwa kuna vitu ambavyo huwezi kufanya eti kwa sababu tu wewe una media kwa hiyo ukatumia hiyo power uliyonayo kinyume na...
Duh japokuwa sijui upande wa pili, yaani Mh Ngeleja hadithi yake ni vipi, lakini kama hii habari jinsi ilivyoandikwa ni sawa basi huyo Waziri kwa kweli hafai kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi. Hivi hawa watu huwa wanasahau kuwa wao wanatakiwa kuwatumikia wananchi na sio wao kuwa wafalme na sisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.