Mfungaji wetu Prince Dube ameshindwa kueendelea na mchezo wa leo baada ya kupata maumivu dk ya 7....kuhusu hari yake tuendelee kusubiri taarifa rasmi ya club
FT Rhino Rangers 1-3 AZAM FC ....Tumefanikiwa kusonga mbele hatua ya nusu fainali...na tutacheza na simba sc baada ya wao kupata ushindi dhidi ya Dodoma jiji fc
Unaeza mfuatilia huyu jamaa anaitwa "Brandon Carter" you tube kwa wale wenye mda mchache wa kufanya mazoez jamaa ana clip za dk 15-30
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja niwaambie kitu kuhusiana na Diet na kupunguza mwili...watu wengi wana amini ku acha kula mlo mmoja kunaweza kukakufanya upungue SIO KWELI
...Kama unaamua kufanya diet kwa ajili ya kupungua mwili fanya yafuatayo
...Punguza kula vyakula vyenye asili ya wanga na sukari...tumia kipimo cha...
Kweli mkuu...ahsante kwa kuliona hilo...nafurahi pia niliwasaidia na wenzangu kupunguza unene...kwa mazoez kuna jamaa angu alikuwa aenda gym miezi sita...kuna siku nilimuuliza unahitaji kupungua?...akanambia ndio...nkamuambia tukutane kiwanjani saa 12 asubuhi...leo hii kawa kimodo[emoji23]...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.