Serikali yanuka damu
NA WAANDISHI WETU
MLOLONGO wa matukio ya kigaidi dhidi ya raia yanayotekelezwa na watu ambao vyombo vya dola vimeshindwa kuwabaini na kuwatia nguvuni, yameichafua serikali kwa kiwango cha kuivika taswira ya mamlaka inayonuka damu.
Matukio ya raia kutekwa na kuteswa kinyama...
Jamani someni vizuri, Mwandishi kaandika hivi video hizo mpya, zinawaonyesha makada wa Chadema na watu wengine ambao hawajafahamika....sasa kosa liko wapi? aliyepost kapoteza maana na kanukuu vibaya mimi nimelisoma hilo gazeti
Shida moja, watu wanasahau taaluma yao ya uandishi wa habari, kuna kosa gani muandishi wa habari kuzungumza na Shonza kwa nia ya kutafuta ukweli juu ya yale anayoyasema?
habari ikiandikwa upande mmoja tunakuwa ni wa kwanza kuwalaumu waandishi.... sasa ukitafutwa na upande wa pili nalo ni tatizo...
Towards the ideals of peaceEach year the International Day of Peace is observed around the world on 21 September. The General Assembly has declared this as a day devoted to strengthening the ideals of peace, both within and among all nations and peoples.
Sustainable Peace...This year, world...
Ndugu zangu nimeona hichi kitu tushirikiane mawazo kwani kimeendelea kuzua mjadala mpana kila kukicha
ni suala la matumizi ya njia za uzazi wa mpango.
mimi ninauliza ni salama au ndio kama baadhi wanavyosema kwamba ni njia ya kutupunguza waafrika kwa sababu tunazaliana sana.
pili najiuliza huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.