Yawezekana uzalendo ukawa juu SEMA tu resources zikawa hazipo.
Kwa kuwa tayari tunayo miundombinu wezeshi wale think tank wa Nchi wafanyie kazi ushauri na tafiti za namna ya kutokomeza umaskini.
Sio sifa kumtawala maskini kwa kumnyima huduma muhimu.
Ni dhambi kubwa kwa Mwanasiasa kudhani ni...
Ni wazo zuri sana.
Kuliko kufunga mitambo eti umeme imekuwa mwingi ni bora kushusha bei ili viwanda vingi vijengwe kutoa ajira Kwa wananchi.
Sambamba na hilo vifaa vinavyotumia umeme vitaongezeka Kwa wingi ili wananchi wapate unafuu wa nishati Kwa matumizi ya nyumbani ili kuokoa mazingira...
Miaka ya 1947 iliyopita USA na UK waliwahamisha Wayaudi kutoka Ulaya kuwapeleka Palestine.
To date hali ni mbaya sana Gaza.
Natarajia ujio wa Wakimbizi hao siku zijazo utaigawa Congo DRC.
Nilitarajia majibu mazuri ya namna hii.
Kama itafaa CCM iwaondoe wale wote wenye mambo ya kijinga ili kuondoa sintofahamu nyingi zinazokihusisha Chama na mambo ya kijinga.
Hoja ya wakubwa kutukanwa isiwe ya Kisiasa bali iwe ni hoja hasa kwa vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama kudeal na hao watu...
Waliowatengenezea Taifa hilo ndio wanawasaidia kwa malengo ya kupanua himaya,ushawishi na hata kuitawala Dunia kupitia hao kwa kuwa Historia ya uwepo wao hapo zamani ipo haijalishi Imani yao.
Hakuna shida yoyote hapo,Jukwaa lilikuwakutanisha wanaisasa na Viongozi wa dini katika Kumbukizi ya Mwanasiasa.
Ni sahihi kwani sadaka ni sehemu shukrani na wala sio kama sehemu ya ukuu baina ya mamlaka hizo mbili.
Mbona hamshangazwi na tukio la mojawapo ya Viongozi wa dini kupokelewa na...
Ni katibu Mkuu Msomi anaendesha Chama katika weledi wa hali ya juu.
Sio Kila mara hoja za vituko na majungumajungu na kusimanga wengine ziwe ndio hoja hodari..
Msingi wa Imani yeyote ni kuwa na watu wenye akili timamu na wenye uwezo wa kufanya maamuzi.
Vetting system ni muhimu sana kwa Viongozi Wakuu.
Ni muhimu watumishi Serikalini wasiwe wanasiasa.
Kwa mfano Mh.Rais Dr.Samia angelimtaka Mh.Makonda kusema pale pale hao wanaohusika,nadhani ingeleta picha tofauti kabisa na kuaribu dhima nzima ya Kumbukizi ya Hayati Waziri Mkuu Edward M Sokoine...
Shida sio Nchi yao,tatizo ni mpaka wa Nchi ya Congo kuwa na raia wa karibia Nchi zote za maziwa makuu zilizo karibu na Mpaka mrefu wa Congo.
Suluhisho liwe la kuwatambua raia hao kama sehemu ya Congo au kuimega Congo ili raia wawe na na mamlaka kamili ya namna yao ya kuishi.
Ni vigumu sana kwa...
CCM ni Chama kinachofuata ushauri wa wanachama wake,nadhani ni vizuri kwa vyama vingine kuiga mfano huu.
Yawezekana Mbinu ya kufuata ushauri ni mojawapo ya sababu ya CCM kuendelea kubaki madarakani.
Nawapongeza wote walioaminiwa na kuteuliwa na Chama,lakini ni muhimu kwao kuona teuzi hizo sio za...
Sababu ni ajira alizozitengeneza lakini pia mapato Kwa maana ya Kodi.
Hata hivyo inaweza kuwa ni sindicate ya kuongeza bei ya bidhaa kwa visingizio vya mwenye kiwanda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.