EAC bila Tanzania hakuna kitu ila hawa jamaa sio wenzetu ukiangalia kwa karibu wote sisi ndio tumewaweka madarakani lakini sasa hivi wanatuona nyanya mbichi but tutafanya biashara na mataifa mengine
Acha kujenga hoja sisizo na mashiko kutawaliwa kubaya sana and Nyerere alikuwa na maono ya mbali ila kwa wakati ule taifa halikuwa tayari kwa mfano unajua wakati anachukua NChi kulikuwa na madaktari wangapi
Kuwa na line nne Si hoja swala Ni kupunguza gharama za simu hawa sasa wanaaza kuwa wajinga vitu vya msingi hapana makampuni kibao hayalipi kodi badala ya kuyabana yalipe kodi unazungumzia line za simu hii ni akili kweli au matope.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.