wewe ni kicheche na utavuna ulichopanda mana huna msimamo na mpenx wk wa awali ,,,,kwa maana akitokea msichana mwengine mrenbo akiingaia line unakamatilia,angalia ma HIV/AIDS ujani ni muhimu sana
hongera sn ndugu yng,nikumwomba mungu mana ajira zmeshakuwa kimeo sisi 2po ktaa mwaka wa2 sasa ila bado chenga ,usitegemee sana kuajiriwa ni vzr ukawa na altanative,,,,,,kwa ifupi jipange maisha ya chuo na kitaa n v2 vwili tofaut kabisa
kweli ni bora umfadhili mbuzi utakunywa supu c binadamu,yani m2 kukupa hata info n kitendo cha kushuru,.............nimeshajua nyie ndo mnaopewaga majibu kwenye intervw
vp baada ya bunge la bajet kuna uwezakano wa kutoa nafasi nyingine za ajira kwenye mikoa na wilaya mpyamana ajira zilozotolewa sidhani kama zinajitosheleza,nying ni za wapishi,walinzi na madereva:painkiller:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.