Ndiyo maana amesema Wakati wa kusema umefika. Jambo lolote ni wakati tu. Muacheni aseme msimzibe mdomo.
Kwa mnavyotokwa mapovu wenyewe naamini mnajua kuna jambo limefichika hapo. Hata hajasema anachotaka kusema naona mnaanza kumshambulia !!!!!!!!!!!!!!!
Nimesoma nimekuelewa Ndugu Mallya
lakini ni lini utasema? pia kinachonitia mashaka ya unachotaka kusema ni kujitokeza kundi linalopinga wewe kusema. Hili kundi ni la nani? Liko chini ya nani? Wanataka unyamaze kwa faida za nani?
Rejea michango yangu hapo juu toka league. Nimejitahidi kukuelewesha kwa kina lakini badala yake Mmeishia kutukana na kujibu kwa kebehi.. naacha kukujibu kuanzia sasa kwa kuwa naamini vichwa vingine huwa havielewi mpaka vipigwe vibao vya masikioni.
Mkuu.. si mpaka wawe na uhakika wa kupitishwa kwa katiba hiyo? Kwa mfano Znz wasipoona wanayoyataka yawemo kwenye katiba hiyo wataikwamisha kwenye referendum. Kadhalika Tanganyika tusipoona tunayoyataka ndani ya katiba tutaikwamisha. Watapataje ubunge?.
No evidence no right to write. Shut up kama huna ushahidi.
Nakushauri tu. Hizo propaganda hazitawasaidia popote. Nape Nnauye aliropoka kuwa Chadema iko funded na CDU alipotakiwa kuthibitisha akameza maneno yake mbele ya wanahabari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.