CCM kama chama chenye dhamana kinatoa loophole kwa upinzan-CHADEMA,kwa kuwa na maamuz yasiyo ya busara yanayo thibitishwa na kuto ridhiwa na wananchi Tanzania.
CHADEMA tunasema ahsante.
kwa sehemu ni busara japo zaidi ni kuto jiamini kwa akina dada na akina mama,hivi umesha wahi kuona nyaraka zinazo kwenda maofisini kutoka central gvt ktk kuhamasisha wafanya kazi kuhusika na shughuli hz?japo kizushi,2naweza kusema waco fika ni TEMBO walihofu uwepo wa A.KINANA.Naomba kuwasilisha.
hakuna haja y kuwapa majibu yaliyo clear hvyo walo shindwa kuhoji mapesa ya umma,wanataka kujua about individual wealth.CDM are the trustees of greatest number of Tanzanians.
confidently,walo na uhakika na ukweli wa taaluma zao wasizkosee haki,wakamilishe adhma ya madai kwa mgomo wao.mbn REV.MSIGWA PETER(Iringa mp) alsha xema tuachane na saut y weng wapuuz kama CCM kwa mujibu wa mnyika john(ubungo mp),baadala yake KNOWLEDGE MUST CONQURE IGNORANCE.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.