Nilipata ajali na pikipiki nikapata majeraha kwenye goti lkn vidonda vimepona lkn mguu hautaki kunyooka alafu maeneo ya goti bado kunauvimbe naombeni msaada nitumie dawa gani ya kunywa na ya kuchua msaada plz
Naombeni msaada,
Nina ndugu yangu anaumwa cancer ya tumbo ila ameshafanyiwa operation na tumelipa gharama kubwa sana ila sasa hivi inatakiwa apate dawa kila baada ya wiki tatu ila gharama za dawa kwa dozi ni tshs 1, 832, 000/=
Kusema kweli hela hatuna tumeshindwa hata kumkatia bima, naomba kwa...
jaman mbona jana chadema haijaongelea habari yeyote ya ACT, kwani wao hawana ilani ya chama chao? au ilani yao ni lowasa.Zito kweli ni hopeless kwa lugha nyingine ni "unproductive"
nipo kwenye mkutano wa ufunguzi wa ubunge katika jimbo la Gairo morogoro mkutano adi sasa haujulikani utafanyikia wapi baada mkufukuzwa uwanjani ambako ulikuwa ufanyike mkutano.lkn uwanja huohuo jana ccm walifanyia mkutano wa ufunguzi.
chadema wajipange kabla ya kufanya mambo yao.
yaani kila jambo ambalo chadema inataka kulifanya lazima liwe na pingamizi tu kwani chadema imefanya kosa gani kubwa kwa serikali ya ccm jamani.ni chama kama vilivyo vyama vingine mara masha amekamatwa, mara wabunge wao wamevamiwa na kiporwa form na wananyofoa baadhi ya document kwnn chadema tu...
je atamweza makongoro Nyerere mtoto halisi wa baba aliyekulia ikulu na wote anawafahamu.uliza juzi jangwani alivyo mchambua kama karanga sumaye hutachoka.
tokea hekaheka za uchaguzi zimeanza huyu mbunge wa musoma mjini kupitia chadema mjukuu wa Nyerere haonekani kabisa kwenye hafla yeyote ya chadema au naye ameamua kujiweka pembeni kama Dr.maana naona wanamtumia sana Salum Mwalimu.lakini ikumbukwe bila vicent Nyerere chadema isingeshinda...
mpumbavu ni mimi niliyekubali mtu kujimilikisha kiwanda cha makaa ya mawe kiwira akiwa ikulu bila hata kuhoji.lazima nitaonekana mpumbavu na lofa tu.ila tutakutana October 25 asbh na mapema
minekakaa chini na kutafakari sana ujio wa waziri mkuu mastaafu bwana Fredrick Sumaye kujiunga na ukawa.kusema kweli mimi mi mwana ukawa damu lkn sijafuraishwa na ujio wake kwa sasa kwani amejenga taswira mbaya kwa wananchi tumeonekana ni walewale kama ccm. lowasa alitutosha sana.we destroy our...
ukiona ivyo ata darasani walikuwa vilaza hawana sifa ya kuwa kiongozi. form ya ubunge unakaa nayo siku ngapi adi akose umakini wa kuijaza huyo ni kilaza ila nikawaida ya ccm kuwa na vilaza na mifano mnayo wenyewe kumbuka ishu ya ESCROW kula kilaza mwingine alipewa dakika 30 ila aliongea pumba...
Uteuzi wa Dr Benson Bana kuwa Mwenyekiti wakutoa elimu ya uchaguzi haujanifurisha kabisa kwani huyo bwana anaonekana ni mfusi wa chama kimoja na kuponda sana upinzani.
Kwa nafasi aliyopewa anaweza akatoa mafunzo yanayoweza kukibeba chama kimoja.
Uteuzi huo umefanywa na shirika la kimataifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.