waaw,
malawi sambaratisha
(wezi,mafisadi,matapeli,vibaka,njaa,mahasidi,roho mbaya) hao,
safisha tanganyika,ndo tabia(khulka) zao,hawajui kuridhka na wanavopewa na mungu wao mpaka wanganganie visivyo vyao,
safisha hadi magogoni,
wanataka kukunyanganyeni bdae wanawapa wazungu,wao wanapewa 3%...
leo raha tupu zenji,...polisi lainiiii...wametubania viwanja vya LUMUMBA wamebanua viwanja vya MALINDI,how nice wazanzibr
heko muamsho,mpk waitoe nchi ye2 wala ngurue ao
mh!,
kaunganeni na kongo uko nd mnaoendana,
mctake kuwafisidi wakomoro,msha2malza wazanzbar,sasa mnawatafuta wakomoro,.
wanyama bwana,hamuach unyama wenu
@mleta mada
wazanzibar wapeleke malalamiko yao mara ngapi?
mbona yashapelekwa sana 2,2napuuzwa
na iyo kuchomwa moto makanisa ni ao ao mabwana zenu mausalama na ccm,ktk kutaka kuzma harakati za wazanzibr,
na iyo katiba 2shaambiwa muungano ucguswe,
kwa iyo wacha 2dai che2 kw njia ya amani,shari...
Mtoa Mada,
wewe ni muongo mutlaq,viongoz wa uamsho c wafuac wa cuf,iyo uamsho ina wafuac wa vyama vyote,
tatzo nyiny wanyamwez vinganganizi,
lkn zenj itawatokeeni puani,mana nyiny hamtaendelea na ce ha2toendelea,2meanza zenj yanafutia kwen bara,au mu2achie nchi ye2,
nyie wenyewe hamuoni miaka 50...
kweli muislam bt huujui uislam wko,
uislam unataka muislam pindi atapopewa habari yoyote,asikurupuke na aifanyie kazi kwanza na aithbitishe,rejea surat nnuur na kisa cha bib aisha na wanafik wa madina..
ndugu umekurupuka!,
km hujui nickilize nkwambie
ccm wanahucka kw % mia na uchomaji kanisa...
Chanzo cha vurugu Zanzibar kinajulikana, ni lile lile dubwana muungano. Hata muwatie ndani wazanzabar wote, mutayastopisha mapambano lkn hamtayaondoa, kwani wameshauliwa weng na wengne kutiwa ndani tokea 64, kwa ajili ya muungano huu ili kuudhbit na kuulinda kwa nguvu zote.
Alimradi kizazi cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.