Polisi lainiii mbele ya wazanzibar

abu alfauzaan

Member
May 19, 2012
60
3
leo raha tupu zenji,...polisi lainiiii...wametubania viwanja vya LUMUMBA wamebanua viwanja vya MALINDI,how nice wazanzibr
heko muamsho,mpk waitoe nchi ye2 wala ngurue ao
 
Wanzanzibari bwana!. Mmebaniwa ndio mwaona raha?. Kumbe ndio maana mwakupenda sana kule!.

Maadam polisi ni wa bara, tutahakikisha wanabana mpaka mwisho ili hicho kikundi cha kigaidi cha Zanzishababi na Zanziqaeda wasipate pa kupumulia kabisa, wabaki kutoa tuu macho kama mjuzi aliyebanwa na mlango!.
 
leo raha tupu zenji,...polisi lainiiii...wametubania viwanja vya LUMUMBA wamebanua viwanja vya MALINDI,how nice wazanzibr
heko muamsho,mpk waitoe nchi ye2 wala ngurue ao

Yaani ungeonja nguruwe alivo mtamu utakimbilia kanisani ukabatizwe ili uhalalishwe kula nguruwe kuliko hii ya sasa mnakula kisirisiri!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom