kama vijana wamchoka kwa nn wasikusanyike CDM SQUARE bila viongozi wa chama au chama chenyewe? ni kweli tumechoka lakn CDM ina rahisisha mikusanyiko hiyo.
How comes people who want disintegration of union then they burn churches? Are christians want the union? what will be the voice of Muslim leader at zanzibar?
Mi napata shida kwa mbunge wa shinyanga mjini aliyeteuliwa naibu waziri nishati na madini atafanya kazi kwa aman kweli ambapo toka uchaguzi wa 2010 hajakanyaga shinyanga na ukitizama migodi muhimu tz ipo shinyanga mi naomba angeachia tu huo uwaziri.
mi naona busara kwako ni kugawana madaraka. hivi huyo mwandosya ana katibu kweli wizarani kwake? je atakuwa katibu asiyekuwa na taaluma maalum nae? du natamani bunge lianze nione atakuwa anajibu maswali gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.