Mwanamapinduzi na Rais wa zamani wa Burkina Faso Thomas Sankara alisema kuwa ili kuleta mabadiliko ya kimapinduzi ni lazima kuwa na hali fulani ya uendawazimu. Ila tusiufikirie uendawazimu huu wa kuokota makopo bali ule ukichaa mzuri wa kuamini katika mambo au misingi fulani na kuisimamia kwa...
Tuhuma dhidi yangu zichunguzwe-Zitto Kabwe
Katika kujitetea mbele ya Baraza la Maadili kuhusu tuhuma dhidi yake za kugawiwa mgawo wa fedha kutoka akaunti ya Escrow, mbunge wa Sengerema Bwana William Ngeleja alisema kuwa ni kawaida wabunge kupewa misaada na wafanyabiashara na taasisi za umma...
*****MATAPELI WAIBUKA UPYA -CHUKUA TAHADHARI ********
Narudi tena, Sihusiki na mfuko wa mikopo unaotangazwa kupitia Mitandaoni. Sijaanzisha ZittoKabwe Foundation. Puuzeni watu wanaotangaza mikopo kwa jina langu. Nimejulisha tena vyombo vya dola suala hili ili kukamata matapeli wanaotumia jina...
HOTUBA YA MH ZITTO Z. KABWE - KIGOMA – 21 DESEMBA 2013
Leo nina furaha kubwa sana kwani baada ya safari ndefu na yenye changamoto nimerudi nyumbani kuwasalimu wananchi wenzangu! Na hii si salamu za kawaida bali nawasalimu kwa salaam za demokrasia, uadilifu, uzalendo na uwajibikaji...
Taarifa kwa vyombo vya habari
Leo tarehe 11/12/2013, mimi Samson Mwigamba, mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), ninawasilisha malalamiko yangu kwa Msajili wa Vyama na ninaomba atoe mwongozo kuhusu mgogoro wa kikatiba uliopo ndani ya Chama kufuatia kipengele cha katiba...
Naomba wana JF na Watanzania wote mjue kuwa katika nyakati kama hizi kuna upotoshaji mwingi sana. Zitto ameshasema yeye atafuata utaratibu wote wa chama na anasubiri barua yake tu ili aweze kujibu.
Hivi sasa Zitto yupo Dubai kwa ziara ya Kamati ya PAC na kisha atakwenda Uingereza. Haya mengine...
TAARIFA YA ZITTO ZUBERI KABWE (MB) KUHUSU KUVULIWA NAFASI ZA UONGOZI NDANI YA CHAMA CHANGU CHA CHADEMA
===========
Taarifa ya Dk. Kitila Mkumbo kwa Umma kuhusu Kuvuliwa nafasi za mamlaka ndani ya CHADEMA
http://youtu.be/8HAPGQ0GkZA
8HAPGQ0GkZA[/U]]http://youtu.be/8HAPGQ0GkZA
Unaongea upuuzi usio na maana mbele ya watu wenye akili,yaani wewe akili zako zinakutuma kuchagua mtu kutokana na kabila na eneo analotoka. Basi badilisha katiba ya CHADEMA ili mwenyekiti awe anatoka mikoa uliyo itaja wewe.
Full version inapatikana hapa HOTUBA YA WAZIRI KIVULI NA MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI WIZARA YA FEDHA NA UCHUMI NDUGU KABWE ZUBERI ZITTO KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA KWA MWAKA WA FEDHA 2012-2013 « Zitto na Demokrasia
Highlights:
Sakata La Rada bado bichi
2.5...
New post on Zitto na Demokrasia
Mafuta kuwa suala la Muungano tulikosea
by zittokabwe
Kila upande wa Muungano uchimbe Mafuta na Gesi Asili yake na Mapato yawe ya Serikali ya upande husika.
Shughuli za Utafutaji kwenye vitalu vyenye mgogoro ziendelee mara moja
Zanzibar...
CHADEMA USA TOUR
by zittokabwe
Kesho Jumapili tarehe 27 Mei mwaka 2012 nitakutana na Watanzania wanachama na wapenzi wa CHADEMA wanaoishi Marekani. Mkutano...
Inapatikana URL: https://zittokabwe.wordpress.com/2012/05/05/to-the-ministers-nothing-to-celebrate-go-to-work/
Mawaziri, hakuna sherehe, nendeni mkawajibike!
Juhudi za kurejesha misingi ya uwajibikaji katika utumishi wa umma zimeanza kuzaa matunda Baada ya Rais kutekeleza shinikizo la Bunge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.