Natafuta rafiki wa kawaida wa kike mwenye umri kati ya miaka 24-29,dini haijalishi,awe intellectual yaani mwana elimu:aweza kuwa amehitimu masomo au bado yupo masomoni,ila elimu isiwe chini ya form six.Pia awe ni mwenye mawazo chanya na si mawazo mgando.
Katika maisha huwa nafurahi sana kuwa na watu wakweli na ambao hawalichukulii tatizo kama tatizo,so kwa moyo safi,naomba nikupongeze dada kwa ujasili wako na uamuzi mzuri uliouchukua wa kutousambaza na kutulia,kwani ni wachache sana wenye huo moyo na mtizamo chanya kama wako,yangu mie ni...
Hopefully people here are enjoying the environment,thus y i decided to join the forum,i hope i'll find interesting people n friends to chat n share ideas...........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.